1
Yoshua 23:14
Neno: Bibilia Takatifu
“Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu na roho zenu kwamba hakuna ahadi zozote njema BWANA Mungu wenu alizowaahidia, ambazo hazikutimia. Kila ahadi imetimizwa, hakuna hata moja ambayo haikutimia.
Compare
Explore Yoshua 23:14
2
Yoshua 23:11
Kwa hiyo kuweni waangalifu sana kumpenda BWANA Mungu wenu.
Explore Yoshua 23:11
3
Yoshua 23:10
Mtu mmoja miongoni mwenu anafukuza watu elfu, kwa kuwa BWANA Mungu wenu anawapigania, kama alivyoahidi.
Explore Yoshua 23:10
4
Yoshua 23:8
Bali mtashikamana kwa uthabiti na BWANA, Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya mpaka sasa.
Explore Yoshua 23:8
5
Yoshua 23:6
“Kuweni hodari sana, kuweni waangalifu kutii yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au kushoto.
Explore Yoshua 23:6
Home
Bible
Plans
Videos