شعار YouVersion
الكتاب المقدسخططفيديوهات
إحصل على التطبيق
مُحدد اللغة
رمز البحث

آيات مشهورة من الكتاب المقدس منYohane 13

1

Yohane 13:34-35

Biblia Habari Njema

BHND

Nawapeni amri mpya: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi. Mkipendana, watu wote watajua kwamba nyinyi ni wanafunzi wangu.”

قارن

اكتشف Yohane 13:34-35

2

Yohane 13:14-15

Biblia Habari Njema

BHND

Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu nimewaosha nyinyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu. Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

قارن

اكتشف Yohane 13:14-15

3

Yohane 13:7

Biblia Habari Njema

BHND

Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”

قارن

اكتشف Yohane 13:7

4

Yohane 13:16

Biblia Habari Njema

BHND

Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu kuliko yule aliyemtuma.

قارن

اكتشف Yohane 13:16

5

Yohane 13:17

Biblia Habari Njema

BHND

Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

قارن

اكتشف Yohane 13:17

6

Yohane 13:4-5

Biblia Habari Njema

BHND

Basi, aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.

قارن

اكتشف Yohane 13:4-5

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بYohane 13

الإصحاح السابق
الإصحاح التالي
YouVersion

تشجع للبحث عن علاقة حميمة مع الله كل يوم.

خدمة

حول‌

مهن

التطوع

المفكّرة

صحافة

روابط مفيدة

مساعدة

تبرع

اصدارات الكتاب المقدس

الأناجيل المسموعة

لغات الكتاب المقدس

آية اليوم


خدمة رقمية ل

Life.Church
العربية

©2026 Life.Church / YouVersion

سياسة الخصوصيةالشروط
برنامج الكشف عن نقاط الضعف
فيسبوكتويترالإنستجرامموقع يوتيوببينتيريست