1
Mwanzo 35:11-12
Swahili Revised Union Version
Mungu akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uzidi ukaongezeke. Taifa na kundi la mataifa watatoka kwako, na wafalme watatoka katika uzao wako. Na nchi hii niliyowapa Abrahamu na Isaka nitakupa wewe, na uzao wako baada yako nitawapa nchi hiyo.
قارن
اكتشف Mwanzo 35:11-12
2
Mwanzo 35:3
Tuondoke, tupande kwenda Betheli, nami nitamfanyia Mungu madhabahu huko; yeye aliyenisikia siku ya shida yangu, akawa pamoja nami katika njia yote niliyoiendea.
اكتشف Mwanzo 35:3
3
Mwanzo 35:10
Mungu akamwambia, Jina lako ni Yakobo; hutaitwa tena Yakobo, lakini Israeli litakuwa jina lako. Akamwita jina lake, Israeli.
اكتشف Mwanzo 35:10
4
Mwanzo 35:2
Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake, na wote waliokuwa pamoja naye, Ondoeni miungu migeni iliyoko kwenu, mjisafishe mkabadili nguo zenu.
اكتشف Mwanzo 35:2
5
Mwanzo 35:1
Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako.
اكتشف Mwanzo 35:1
6
Mwanzo 35:18
Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini.
اكتشف Mwanzo 35:18
الصفحة الرئيسية
الكتاب المقدس
خطط
فيديو