የYouVersion አርማ
መጽሐፍ ቅዱስእቅዶችቪዲዮዎች
መተግበሪያውን ያግኙ
የቋንቋ መምረጫ
የፍለጋ አዶ

ከ{{ምዕራፍ}} ታዋቂ የመጽሐፍ ቅዱስ ጥቅሶች

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Halafu huyo mwanaume akasema: “Kweli! Huyu ni mufupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamuke’, kwa sababu ametolewa katika mwanaume.”

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Huyo mwanaume na muke wake wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

አወዳድር

{{ጥቅስ}} ያስሱ

የቀድሞው ምዕራፍ
ቀጣይ ምዕራፍ
YouVersion

በየቀኑ ከእግዚአብሔር ጋር የቅርብ ግንኙነት እንዲኖርዎ እንዲፈልጉ የሚያበረታታዎ እና የሚሞግትዎ።

አገልግሎት

ስለ

ሙያዎች

በጎ ፈቃደኛ

ብሎግ

ተጫን / ይንኩት

ጠቃሚ ማስፈንጠሪያዎች

እገዛ

ልገሳ

የመጽሐፍ ቅዱስ እትሞች

የድምጽ መጽሐፍ ቅዱስ

የመጽሐፍ ቅዱስ ቋንቋዎች

የዕለቱ ጥቅስ


የዲጂታል አገልግሎት

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

የግለሰብነት መመሪያ / የግለሰብ አቋም መመሪያውሎች
የተጋላጭነት ገለጻ ፕሮግራም
ፌስቡክትዊተርኢንስታግራምዩትዩብፒንትረስት

ቤት

መጽሐፍ ቅዱስ

እቅዶች

ቪዲዮዎች